OBAMA NA MICHELLE WATENGANA, SOMA ZAIDI HAPA

0 comments


Barack Obama na mkewe Michelle kila mmoja akionekana kuwa kivyake.
Obama akimshika begani Waziri Mkuu wa Denmark, Helle Thorning-Schmidt, wakati wa mazishi ya Mandela nchini Afrika Kusini. Kulia ni Michelle Obama akiwa amenuna.
RAIS wa Marekani, Barack Obama na mkewe Michelle wanadaiwa kutengana. Habari zinadai kuwa wawili hao wanalala katika vyumba tofauti kwa sasa ndani ya Ikulu ya Marekani 'White House'.
Mgogoro baina ya wawili hao ulianza zamani na wameweza kuendelea kuishi pamoja kwa sababu ya watoto wao wawili wa kike Sasha na Malia na kulinda heshima ya urais.
Michelle anadai amechoka na atakutana na mwanasheria wa masuala ya talaka ili aweze kuachana na rais huyo wa 44 nchini Marekani. Michelle ataendela kuishi Ikulu 'White House' kwa muda wote uliobaki katika kipindi cha utawala wa Obama, ila ameweka wazi kuwa watakuwa wakiishi vyumba tofauti.
Anataka kuishi katika chumba kimojawapo cha familia kilichowazi na anajiandaa kuhamisha nguo zake na kila kilicho chake kutoka kwenye jumba lao la kifahari la mamilioni ya dola lililopo Chicago.
Michelle alichanganyikiwa zaidi baada ya Obama kupiga picha za kimahaba akiwa na Waziri Mkuu wa Denmark, Helle Thorning-Schmidt, wakati wa mazishi ya marehemu Nelson Mandela nchini Afrika Kusini.
Obama mwenye miaka 52, alikuwa akifurahi, kunong'enezana na kumshika begani mrembo huyo mwenye umri wa miaka 46 ambaye amekuwa Waziri Mkuu wa Denmark tangu Oktoba 3, 2011.

Read More »

MAUAJI YA KUTISHA KITETO, SERIKALI MPO WAPI??

0 comments

Habari kwa mujibu wa Mohamed Hamad, Kiteto -- WILAYA ya Kiteto imeingia kwenye orodha ya maeneo yanayotisha kwa mauaji ya kinyama baada ya wakulima kuuawa mara kwa mara na wafugaji kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za kugombea ardhi
Miongoni mwa waliouawa kinyama Dec 20 kwa kuchinjwa shingo yake ni Juma Mlagwa (49) wa Kitongoji cha Kalikala Kata ya Njoro (Kiteto) ambaye alivamiwa nyumbani kwake usiku na kundi la vijana wa kifugaji masai (makorianga)


Imeelezwa kuwa wakati anavamiwa zilisikika Risasi zikipigwa juu Kitongojini hapo na baada ya watu kuendelea kujificha ndani vijana hao walianza kunyunyizia nyumba zao mafuta aina ya petrol  kisha kuwasha moto

Akizungumza mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara Ally Mussa Mwenyekiti wa Kitongoji hicho alisema siku hiyo haitasahaulika mashani mwake kwa yaliyotokea kutokana na vitendo hivyo akisema ilikuwa mara ya kwanza kuona mtu anachinjwa hadharani

“Nilichomewa Pikipiki zangu mbili pamoja na vitu mbalimbali vya ndani zikiwemo nguo, vyakula, lakini nilichonusuru ni roho yangu ambayo hadi leo nasema najivunia uhai nilio nao”alisema Mwenyekiti huyo
 
Alisema chanzo cha mauaji hayo ni jamii ya kifugaji wamasai kuingiza mifugo yao kwenye shamba la mmoja wa wakulima Kitongojini hapo na baada ya kukatazwa walimpiga kisha nae kupigwa ndipo wakakusanyana kupanga uvamizi huo

Hata hivyo baada ya kufikishwa taarifa kwa viongozi wa Serikali walidaiwa kulifika Kitongojini lakini walikataa kwenda kuongea nao km chache kwa madai kuwa ni uongo kwamba hakuna watu waliokusanyana

Akielezea hayo Mwenyekiti huyo alisema tatizo ni uongozi dhaifu kuanzia ngazi ya Kitongoji hadi Wilaya ambapo alidai kuwa ukabila umeshamiri kwa viongozi kujiona kuwa wanahaki ya kutfanya utetezi katika upande mmoja

Kwa upande wake Lairumbe Mollel Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya akizungumzia sakata hilo alimzodoa mwenyekiti huyo wa Kitongonji kuwa ni muongo kwani baada ya wao kufika kabla ya tukio alikataa kuwataja wahusika

Hata hivyo kauli hiyo ilionekana kutokuwa na mashiko baada ya mwenyekiti huyo wa Kitongoji kuonyesha udhaifu wa viongozi hao akisema baada tu ya kufika hawakuweza hata kukubali kupelekwa walikoweka kambi vijana hao wa kimasai

“Baada ya kufika walitaka nisema majina ya walioleta fujo na nilipowataka twende eneo la tukio wakakata nakuona kuwa hawakuwa na njia njema kisha wakarejea Kiteto ambapo usiku vijana hao wakatekeleza azima yao ya kuchinja mtu mmoja na kumpiga mwingine risasi kisha kuwajeruhi watu saba”alisema Mwenyekiti huyo wa kitongoji

Waliofariki katika uvamizi huo ni pamoja na Juma Malagwa (49) ambaye alichinjwa shingo, Yohana Ivo (33) ambaye alipigwa sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha kifo pamoja na watu wengine saba kulazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kiteto kwa kujeruhiwa kwa fimbo na mapanga

Waliolazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kiteto ni Hoti Daniel (38) Emanuel matias (21) Juma Bahati (13) Mwajuma Hamisi (20) Habiba Ally (16) Mwajuma Martin pamoja na Musa Juma (16) aliyepelekwa Dodoma kwaajili ya matibabu

Hata hivyo mkuu huyo wa Mkoa wa Manyara Elaston Mbwillo akiwa katika kitongoji hicho aliwapa siku 30 viongozi wa Wilaya ya Kiteto kuweka utaratibu wa kuwatambua wananchi hao ili kuondoa tofauti zao waweze kufanya kazi bila bughdha

“Ninyi wananchi mwende kujisajili Kijijijini ili Serikali iwatambue kwani maisha bora kwa wananchi yatapatikana kwa kufahamika mlipo ili mpatiwe huduma za jamiiambazo kwa sasa hamna hata moja,” alisema Mbwillo.

Read More »

MASTAA WAMPA ZA USO JACK CLIFF BAADA YA KUKAMATWA CHINA, SOMA HUDDAH ALICHOANDIKA TWITTER

0 comments


Aliyekuwa muwakilishi wa Kenya kwenye shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’, Huddah Monroe aka Thee Boss Lady amerusha dongo kwa mrembo wa Tanzania Jackie Cliff ambaye alikamatwa na dawa za kulevya aina ya Heroin nchini china.

Tweet ya Huddah inadai kuwa Jackie Cliff ni mrembo ambaye alitaka kuishi maisha mazuri ya haraka na kutumia vitu vya kifahari, pia akaambatanisha na picha mbili zinazomuonesha Jackie akiwa amepozi kabla ya kukamatwa na nyingine akiwa na pingu, picha iliyotolewa na gazeti la nchini China.

Katika tweet nyingine Huddah ambaye hupenda kuonesha maisha ya kifahari anayoishi, amefunguka zaidi na kuonesha kuwa yeye ni muoga na asingeweza kufikia kiwango hicho.

“So this beautiful Tanzanian girl was caught with a KG of Cocaine. That’s now a BAD ASS B**CH! I’m such a coward…I swear I’m not BAD!” Huddah ametweet.



THEE BOSS LADY @HUDDAHMONROE

Follow

Beautiful girl...Wanting to live the "Fast Life" "The good life" Gucci ,Prada,Roberto Cavalli,Alexander Wang!

8:50 PM - 28 Dec 2013

Read More »

MAUNDA ZORRO APIGWA PICHA ZA UTUPU AKIWA GUEST HOUSE, BOFYA HAPA

0 comments


Ni mara nyingine tena star mwingine tokea bongo picha zake chafu zimevuja katika mtandao mara hii ni kutoka kwenye Industry ya musc bongo












Read More »

LINEX AHUSISHWA NA KUKAMATWA KWA JACK CLIFF HUKO CHINA, ACHARUKA VIBAYA, SOMA HAPA ALICHOSEMA

0 comments
 

Kufuatia madai mbalimbali juu ya Mtanzania aliyekamatwa na madawa ya kulevya nchini China (Jack Clief) , Msanii Linex ambaye amefanya video ya wimbo wake wa Kimugina  na msichana huyu  ameamua  kumkana  laivu....
Huu  nu  ujumbe  wake  alioundika  facebook

Nimechoka maswali kuhusu jack cliff model nilieshoot nae kimugina napenda kuwambia wote wanaoniuliza maswali ya ajabu kwamba sijawah kua na ushikaji na jack zaid ya kumtafuta nilipokua na kazi nae so sijui kitu chochote kuhusu jack anafanya nn ana nn ana kaz gan zaid ya umodel sijui so mnaonitupia maswali na picha wats up plzzz cos sijawahi kua karibu na Jack na sijui chochote kuhusu jack zaidi ya kufanya nae vdeo.
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

Read More »

VYUO VIKUU BORA AFRICA, UDSM YAFANYA VIZURI SAAANA...SOMA LIST NZIMA HAPA

0 comments
The rankings of Africa’s top higher education institutions is provided by the 4 International Colleges & Universities (4icu). 4icu is an international higher education search engine and directory reviewing accredited Universities and Colleges in the world. 4icu.org includes 11,160 Colleges and Universities, ranked by web popularity, in 200 countries.
A quick look shows that South African universities dominate the top despite the fact that South Africa ranks very low on the quality of education in the world...

 University of South Africa
South Africa
 University of Cape Town
South Africa
 Universiteit Stellenbosch
South Africa
 University of Dar es Salaam
Tanzania
 University of KwaZulu-Natal
South Africa
 University of Pretoria
South Africa
 Cairo University
Egypt
 University of the Witwatersrand
South Africa
 University of the Western Cape
South Africa
10  Obafemi Awolowo University
Nigeria
11  Makerere University
Uganda
12  University of Botswana
Botswana
13  Mansoura University
Egypt
14  Rhodes University
South Africa
15  Alexandria University
Egypt
16  The American University in Cairo
Egypt
17  Zagazig University
Egypt
18  University of Johannesburg
South Africa
19  Assiut University
Egypt
20  University of Nairobi
Kenya
21  Université Cheikh Anta Diop
Senegal
22  University of Zambia
Zambia
23  North-West University
South Africa
24  University of Lagos
Nigeria
25  Tanta University
Egypt
26  University of Ghana
Ghana
27  Université de Ouagadougou
Burkina Faso
28  Université Mohammed V - Agdal
Morocco
29  Nelson Mandela Metropolitan University
South Africa
30  Cape Peninsula University of Technology
South Africa
31  Université d'Antananarivo
Madagascar
32  Ain Shams University
Egypt
33  University of Ibadan
Nigeria
34  Kenyatta University
Kenya
35  University of Namibia
Namibia
36  Universiteit van die Vrystaat
South Africa
37  University of Nigeria
Nigeria
38  The German University in Cairo
Egypt
39  University of Limpopo
South Africa
40  Université de la Reunion
Reunion
41  University of Khartoum
Sudan
42  Benha University
Egypt
43  Universidade Eduardo Mondlane
Mozambique
44  Helwan University
Egypt
45  École Nationale d'Architecture
Morocco
46  University of Fort Hare
South Africa
47  Université Nationale du Rwanda
Rwanda
48  Al Akhawayn University
Morocco
49  Université Catholique de l'Afrique de l'Ouest
Benin
50  Tshwane University of Technology
South Africa
51  Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology
Kenya
52  Minia University
Egypt
53  Addis Ababa University
Ethiopia
54  Fayoum University
Egypt
55  Moi University
Kenya
56  University of Ilorin
Nigeria
57  October 6 University
Egypt
58  South Valley University
Egypt
59  Sokoine University of Agriculture
Tanzania
60  Université Mouloud Maameri de Tizi Ouzou
Algeria
61  Université Mohammed V - Souissi
Morocco
62  Al-Azhar University
Egypt
63  Kwame Nkrumah University of Science and Technology
Ghana
64  Misurata University
Libya
65  Minoufiya University
Egypt
66  Université d'Oran
Algeria
67  Université Hassan II Mohammedia - Casablanca
Morocco
68  Polytechnic of Namibia
Namibia
69  Université d'Alger
Algeria
70  University of Zimbabwe
Zimbabwe
71  University of Cape Coast
Ghana
72  The British University in Egypt
Egypt
73  Université de Tunis El Manar
Tunisia
74  University of Zululand
South Africa
75  University of Agriculture, Abeokuta
Nigeria
76  University of Malawi
Malawi
77  Université Cadi Ayyad
Morocco
78  Université Mentouri de Constantine
Algeria
79  Suez Canal University
Egypt
80  Université de Yaoundé I
Cameroon
81  Egerton University
Kenya
82  University of Swaziland
Swaziland
83  Kafr el-Sheikh University
Egypt
84  Université Ibn Tofail
Morocco
85  Université de la Manouba
Tunisia
86  Université Hassan II - Casablanca
Morocco
87  Covenant University
Nigeria
88  University of Benin
Nigeria
89  École Nationale Supérieure en Informatique
Algeria
90  Université des Sciences et de la Technologie Houari Boumediène
Algeria
91  Durban University of Technology
South Africa
92  Strathmore University
Kenya
93  Ahmadu Bello University
Nigeria
94  Université Ibnou Zohr
Morocco
95  Universidade de Cabo Verde
Cape Verde
96  Sudan University of Science and Technology
Sudan
97  University of Mauritius
Mauritius
98  Muhimbili University of Health and Allied Sciences
Tanzania
99  Gulu University
Uganda
100  Vaal University of Technology
South

Read More »